iqna

IQNA

tafsiri na wafasiri wa qurani tukufu
Tafsiri na Wafasiri wa Qur'ani Tukufu /18
TEHRAN (IQNA) – Katika Tafsir al-Safi, Mulla Muhsin Fayz (Fayd) Kashani amefasiri Aya za Qur’ani Tukufu kwa kuzingatia Hadithi kutoka kwa Maasumin (AS) ambao ni kutoka nyumba ya Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3476587    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/19

Tafsiri na Wafasiri wa Qur'ani Tukufu /16
TEHRAN (IQNA) – Tafsiri ya Qur’ani Tukufu ya Gharaeb al-Qur’an na Ragheb al-Furqan ni tafsiri jumuishi ya Qu’rani Tukufu katika suala la kujadili siri za maneno na na siri za kiroho katika Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476520    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/06

Tafsiri na Wafasiri wa Qur'ani Tukufu /15
TEHRAN (IQNA) – Tafsir al-Quran al-Karim ni tafsiri ya Qur’ani Tukufu iliyoandikwa na Mulla Sadra, mwanafalsafa mashuhuri wa ulimwengu wa Kiislamu na mwanzilishi wa chuo cha Hikma al-Muta’aliya.
Habari ID: 3476460    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/25

Tafsiri za Qur'ani Tukufu na Wafasiri / 11
TEHRAN (IQNA) – Tafsiri ya Qur'ani Tukufu ya Min Huda al-Qur'an iliyoandikwa na Ayatullah Seyed Mohammad Taqi Modarresi, mwanazuoni wa Iraq na mfano wa kuigwa, ni miongoni mwa tafsiri za kisasa za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476243    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/13